Utamaduni
IQNA - Watu waliotembelea Awamu ya 28 ya maonyesho ya kimataifa ya vitabu katika mji mkuu wa Oman, Muscat walipokea nakala za Qur'ani Tukufu kama zawadi.
Habari ID: 3478450 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/04
Utamaduni
IQNA - Zaidi ya wachapishaji 840 kutoka nchi mbalimbali wanashiriki katika toleo la 28 la maonyesho ya kimataifa ya vitabu katika mji mkuu wa Oman , Muscat 2024. Banda la Iran katika maonyesho hayo ya vitabu limetoa mada zaidi ya anuani 1,000 za vitabu katika hafla hiyo ya kitamaduni.
Habari ID: 3478431 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/29
Utamaduni
IQNA - Waandaaji wa toleo la 55 la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Cairo wanasema Misahafu au nakala za Qur’ani Tukufu ni vitabu vinavyouzwa kwa wingi zaidi katika hafla hiyo ya kitamaduni.
Habari ID: 3478306 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/05
Utamaduni
TEHRAN (IQNA) – Banda la Oman katika Maonyesho ya 34 ya Kimataifa ya Vitabu ya Tehran limeweka vitabu vya maonyesho katika nyanja tofauti, afisa msimamizi wa banda hilo alisema.
Habari ID: 3477014 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/18
Maonyesho ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Tafsiri za Qur'ani Tukufu katika lugha tofauti ni kati ya vitabu vilivyowasilishwa katika Maonyesho ya 37 ya Kimataifa ya Vitabu Tunisia
Habari ID: 3476933 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/29